News

Uchaguzi ni njia ya msingi ya kidemokrasia inayotumiwa na kundi la watu, jamii au taifa kuchagua viongozi wanaoaminiwa kuwa ...
Bunge ni chombo cha kutunga sheria katika nchi na ndiyo chombo cha uwakilishi wa wananchi na kuisimamia Serikali katika mambo mbalimbali yanayofanyika na mwisho wa siku, ni kuhakikisha kwamba kila ...
Kuna mazoea ya kimatamshi na kimaandishi, kutambua marais kwa mtindo wa awamu. Mathalan, inatamkwa kwamba Dk Samia Suluhu Hassan, ni Rais wa Awamu ya Sita, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dk John ...
Vijana wa leo hasa wa mijini hawaufahamu utaratibu tuliokuwa nao zamani, au unaoendelea hadi leo huko vijijini ambako hakujaathirika na umagharibi. Familia zetu zilikuwa pana zikihusisha moja kwa moja ...
Katika kuelekea maonyesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane), Mkoa wa Mbeya umeandaa mikakati mipya ya ujenzi wa mabanda kwa ...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza usimamizi wa ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara, ikiwemo wa mataifa ya nje waliojuja kufanya shughuli zao nchini.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Isaya Kastam mkazi wa Kwa Mfipa Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake, ...
Watu 10 wameuawa na wengine 29 wakijeruhiwa katika maeneo mbalimbali Kenya wakati taifa hilo likiadhimisha miaka 35 ya Siku ...
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linapanga kuwekeza Sh120 bilioni katika ujenzi wa bomba la gesi asilia lenye ...
Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania (SDA) limeshinda rufaa dhidi ya waliokuwa wanakwaya wa Kanisa la SDA Kinondoni, ...
Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCDP), Onorius Njole, amesema mfumo wa sheria za uchaguzi nchini ni mzuri na umezingatia misingi ya ...
Vijana 700 waliofaulu kwa kiwango cha juu katika masomo ya sayansi kwenye matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana ...